Pular para o conteúdo
Publicidade

10 versículos sobre esperar o tempo de Deus

Por Bíblia Online

Esperar o tempo de Deus é um princípio presente em toda a Bíblia. As Escrituras ensinam que Deus age no momento certo e que a confiança nele deve permanecer mesmo quando não há respostas imediatas.

Neste artigo, você encontrará 10 versículos sobre esperar o tempo de Deus para fortalecer sua fé e lembrar das promessas bíblicas.

1. Eclesiastes 3:1

Kila Jambo Lina Wakati Wake

Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo,

nayo majira kwa kila tendo chini ya mbingu:

2. Salmos 27:14

Mngojee Bwana,

uwe hodari na mwenye moyo mkuu,

nawe, umngojee Bwana.

3. Isaías 40:31

bali wale wamtumainio Bwana

atafanya upya nguvu zao.

Watapaa juu kwa mbawa kama tai;

watapiga mbio wala hawatachoka,

watatembea kwa miguu wala hawatazimia.

4. Salmos 37:7

Tulia mbele za Bwana

na umngojee kwa uvumilivu;

usisumbuke watu wanapofanikiwa katika njia zao,

wanapotekeleza mipango yao miovu.

5. Lamentações 3:25-26

Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,

kwa yule ambaye humtafuta;

ni vyema kungojea kwa utulivu

kwa ajili ya wokovu wa Bwana.

6. Habacuque 2:3

Kwa kuwa ufunuo huu unasubiri wakati uliokubalika;

unazungumzia mambo ya mwisho,

na kamwe hautakosea.

Iwapo utakawia, wewe usubiri;

kwa hakika utakuja na hautachelewa.

7. Salmos 130:5

Namngojea Bwana, nafsi yangu inangojea,

katika neno lake naweka tumaini langu.

8. Romanos 8:25

Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.

9. Miquéias 7:7

Lakini mimi, namtazama Bwana kwa matumaini,

namngoja Mungu Mwokozi wangu;

Mungu wangu atanisikia mimi.

10. Gálatas 6:9

Hivyo, tusichoke katika kutenda mema, kwa kuwa tutavuna kwa wakati wake tusipokata tamaa.

Conclusão

Os versículos sobre esperar o tempo de Deus reforçam a importância da confiança, da paciência e da perseverança na vida cristã.

Se este conteúdo foi útil para você, compartilhe com outras pessoas para que mais vidas sejam fortalecidas pela Palavra de Deus.

Josiane de Souza Campos
1 pessoa deu Amém