Coração
O coração é o centro do ser humano — sede dos pensamentos, emoções e decisões. A Bíblia ensina a guardar, purificar e render o coração a Deus como oferta viva.
Guardar o coração
Sobre tudo o que se deve guardar, guarda o teu coração, porque dele procedem as fontes da vida e de toda decisão.
Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo;
Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo;
Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,
Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,
Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
Katika njia zako zote mkiri yeye,
Naye atayanyosha mapito yako.
Mwanangu, usiisahau sheria yangu,
Bali moyo wako uzishike amri zangu.
Maana zitakuongezea wingi wa siku.
Na miaka ya uzima, na amani.
Rehema na kweli zisiachane nawe;
Zifunge shingoni mwako;
Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri,
Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.
Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili;
Bali husuda ni ubovu wa mifupa.
Aliye na akili moyoni mwake atapokea agizo;
Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.
Coração puro
Cria em mim um coração puro, ó Deus. Ensina-me a contar meus dias para que tenha um coração sábio.
Ee Mungu, uniumbie moyo safi,
Uifanye upya na kuithibiti roho yangu.
Ee Mungu, uniumbie moyo safi,
Uifanye upya na kuithibiti roho yangu.
Basi, utufundishe kuzihesabu siku zetu,
Tujipatie moyo wa hekima.
Maneno ya kinywa changu,
Na mawazo ya moyo wangu,
Yapate kibali mbele zako, Ee BWANA,
Mwamba wangu, na mwokozi wangu.
Iweni hodari, na mpige moyo konde,
Ninyi nyote mnaomngoja BWANA.
Nawe ujifurahishe katika BWANA,
Naye atakutimizia haja za moyo wako.
Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako,
Na kukutimizia mipango yako yote.
Heri wazitiio shuhuda zake,
Wamtafutao kwa moyo wote.
Nitakushukuru kwa unyofu wa moyo,
Nikiisha kujifunza hukumu za haki yako.
Kwa moyo wangu wote nimekutafuta,
Usiniache nipotee mbali na maagizo yako.
Buscar a Deus de coração
Amarás ao Senhor teu Deus de todo o coração. A busca sincera leva ao encontro; o coração dividido leva à ruína.
Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakapokuwapo na moyo wako pia.
Amin, nawaambia, yeyote atakayeuambia mlima huu, Ng’oka ukatupwe baharini, wala asione shaka moyoni mwake, ila aamini kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.
Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?
Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua? Mimi, BWANA, nauchunguza moyo, navijaribu viuno, hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda ya matendo yake.
Nanyi mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
Lakini mjibidiishe sana kuzifanya amri na sheria, ambazo Musa, mtumishi wa BWANA, aliwaamuru, kumpenda BWANA, Mungu wenu, na kwenenda katika njia zake zote, na kuzishika amri zake, na kushikamana na yeye, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na nafsi yenu yote.
Nami nitawapa moyo mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao; nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika miili yao, nami nitawapa moyo wa nyama;
Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama.
Conhecer o coração
O homem olha para a aparência, mas o Senhor olha para o coração. Deus conhece os segredos mais profundos.
Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.
Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.
Kama uso ufananavyo na uso katika maji;
Kadhalika moyo wa mtu na mwenzake.
Moyo uliochangamka ni dawa nzuri;
Bali roho iliyopondeka huikausha mifupa.
Mkabidhi BWANA kazi zako,
Na mawazo yako yatakuwa kweli.
Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi; bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.
Lakini Mungu na ashukuriwe, kwa maana mlikuwa watumwa wa dhambi, lakini mliitii kwa mioyo yenu ile namna ya elimu ambayo mliwekwa chini yake;
apate kuifanya imara mioyo yenu iwe bila lawama katika utakatifu mbele za Mungu, Baba yetu, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote.
Msifanye mioyo yenu kuwa migumu,
Kama wakati wa kuasi,
Siku ya kujaribiwa katika jangwa,