Publicidade

Louvor e adoração

Por Bíblia Online

O louvor e a adoração são o propósito supremo da vida cristã. A Bíblia está repleta de exortações a louvar o Senhor — com cânticos, instrumentos, danças e com todo o nosso ser.

Louvai ao Senhor!

Todo ser que respira louve ao Senhor! O louvor é o sacrifício agradável que oferecemos continuamente a Deus.

Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA.

Haleluya.

Sifa kwa ukuu Mwingi wa Mungu

Haleluya.

Msifuni Mungu katika patakatifu pake;

Msifuni katika anga la uweza wake.

Msifuni kwa matendo yake makuu;

Msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.

Msifuni kwa mvumo wa baragumu;

Msifuni kwa kinanda na kinubi;

Msifuni kwa matari na kucheza;

Msifuni kwa zeze na filimbi;

Msifuni kwa matoazi yaliayo;

Msifuni kwa matoazi yavumayo sana.

Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA.

Haleluya.

Msifuni kwa matari na kucheza;

Msifuni kwa zeze na filimbi;

Na walisifu jina lake kwa kucheza,

Kwa sauti tamu ya matari na kinubi.

Sifa kwa wema wa Mungu kwa Israeli

Haleluya.

Mwimbieni BWANA wimbo mpya,

Sifa zake katika kusanyiko la watauwa.

Na walisifu jina lake kwa kucheza,

Kwa sauti tamu ya matari na kinubi.

Kwa kuwa BWANA awaridhia watu wake,

Huwapamba wenye upole kwa wokovu.

Watauwa na waushangilie utukufu,

Waimbe kwa sauti kuu vitandani mwao.

Sifa kwa utukufu mkuu wa Mungu

Haleluya.

Msifuni BWANA kutoka mbinguni;

Msifuni katika mahali palipo juu.

Msifuni, enyi malaika wake wote;

Msifuni, majeshi yake yote.

Msifuni, jua na mwezi;

Msifuni, nyota zote zenye mwanga.

Msifuni, enyi mbingu za mbingu,

Nanyi maji mlioko juu ya mbingu.

Na vilisifu jina la BWANA,

Kwa maana aliamuru, vikaumbwa.

Amevithibitisha hata milele na milele,

Ametoa amri wala haitapita.

Msifuni BWANA kutoka nchi,

Enyi nyangumi na vilindi vyote.

Moto na mvua ya mawe, theluji na mvuke,

Upepo wa dhoruba utimizao neno lake.

Milima na vilima vyote,

Miti yenye matunda na mierezi yote.

Hayawani, na wanyama wafugwao,

Vitambaavyo, na ndege wenye mbawa.

Wafalme wa dunia, na watu wote,

Wakuu, na watawala wote wa dunia.

Vijana wa kiume, na wanawali,

Wazee, na watoto;

Na walisifu jina la BWANA,

Maana jina lake peke yake limetukuka;

Adhama yake i juu ya nchi na mbingu.

Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.

Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.

Louvor como estilo de vida

Bendirei ao Senhor em todo tempo; o seu louvor estará sempre nos meus lábios. O louvor não depende de circunstâncias.

Sifa kwa kukombolewa katika shida
Ya Daudi, alipojifanya mwenye kichaa mbele za Abimeleki, ndipo akafukuzwa na kumtoroka.

Nitamhimidi BWANA kila wakati,

Sifa zake zi kinywani mwangu daima.

Sifa kwa kukombolewa katika shida
Ya Daudi, alipojifanya mwenye kichaa mbele za Abimeleki, ndipo akafukuzwa na kumtoroka.

Nitamhimidi BWANA kila wakati,

Sifa zake zi kinywani mwangu daima.

Sifa kwa kukombolewa katika shida
Ya Daudi, alipojifanya mwenye kichaa mbele za Abimeleki, ndipo akafukuzwa na kumtoroka.

Nitamhimidi BWANA kila wakati,

Sifa zake zi kinywani mwangu daima.

Katika BWANA nafsi yangu itajisifu,

Wanyenyekevu wasikie na kufurahi.

Mtukuzeni BWANA pamoja nami,

Na tuliadhimishe jina lake pamoja.

Lakini mimi nitakutumainia daima,

Nitaendelea kukusifu zaidi na zaidi.

Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa,

Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu,

Ninakusifu Wewe daima.

Kinywa changu kitajazwa sifa zako,

Na heshima yako mchana kutwa.

Kinywa changu kitajazwa sifa zako,

Na heshima yako mchana kutwa.

Midomo yangu itafurahi sana nikuimbiapo,

Na nafsi yangu uliyoikomboa.

Toka maawio ya jua hata machweo yake

Jina la BWANA husifiwa.

shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.

Adoração em espírito e verdade

Os verdadeiros adoradores adorarão ao Pai em espírito e em verdade. Deus busca os que o adoram com coração sincero.

Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.

Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Mwito wa kuabudu na kutii

Njoni, tumwimbie BWANA,

Tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu.

Tuje mbele zake kwa shukrani,

Tumfanyie shangwe kwa zaburi.

Kwa kuwa BWANA ni Mungu mkuu,

Na Mfalme mkuu juu ya miungu yote.

Mkononi mwake zimo bonde za dunia,

Hata vilele vya milima ni vyake.

Bahari ni yake, ndiye aliyeifanya,

Na mikono yake iliumba nchi kavu.

Njoni, tuabudu, tusujudu,

Tupige magoti mbele za BWANA aliyetuumba.

Nchi zote zaitwa kumsifu Mungu
Zaburi ya Shukrani.

Mshangilieni BWANA, enyi nchi zote;

Mtumikieni BWANA kwa furaha;

Njoni mbele zake mkiimba;

Mtumikieni BWANA kwa furaha;

Njoni mbele zake mkiimba;

Ingieni malangoni mwake kwa shukrani;

Nyuani mwake kwa kusifu;

Mshukuruni, lihimidini jina lake;

Sifa kwa Mungu atoaye hukumu

Mwimbieni BWANA wimbo mpya,

Mwimbieni BWANA, nchi yote.

Mwimbieni BWANA, lisifuni jina lake,

Tangazeni wokovu wake kila siku.

Wahubirieni mataifa habari za utukufu wake,

Na watu wote habari za maajabu yake.

Kwa kuwa BWANA ni mkuu mwenye kusifiwa sana.

Na wa kuhofiwa kuliko miungu yote.

Maana miungu yote ya watu si kitu,

Lakini BWANA ndiye aliyezifanya mbingu.

Heshima na adhama ziko mbele zake,

Nguvu na uzuri zimo katika patakatifu pake.

Mpeni BWANA, enyi jamaa za watu,

Mpeni BWANA utukufu na nguvu.

Mpeni BWANA utukufu wa jina lake,

Leteni sadaka, na mwingie katika nyua zake.

Mwabuduni BWANA kwa uzuri wa utakatifu,

Tetemekeni mbele zake, nchi yote.

A grandeza de Deus

Grande é o Senhor e mui digno de louvor! Sua grandeza é insondável. Os céus declaram sua glória e toda a criação o adora.

BWANA ndiye mkuu mwenye kusifiwa sana,

Wala ukuu wake hauchunguziki.

Lakini Wewe U Mtakatifu,

Utukuzwaye na sifa za Israeli.

Nitalihubiri jina lako kwa ndugu zangu,

Katikati ya kusanyiko nitakusifu.

Ninyi mnaomcha BWANA, msifuni,

Enyi nyote mlio wazawa wa Yakobo, mtukuzeni,

Mcheni, enyi nyote mlio wazawa wa Israeli.

Maana hapuuzi

Wala kuchukizwa na mateso ya anayeteswa,

Wala hamfichi uso wake,

Bali humsikia akimlilia.

Sifa kwa Mungu kuutunza Yerusalemu

Haleluya.

Msifuni Bwana;

Maana ni vema kumwimbia Mungu wetu sifa,

Maana ni mwenye fadhili, na anastahili kuimbiwa sifa.

Msifuni BWANA kwa kuwa BWANA ni mwema,

Liimbieni jina lake kwa maana lapendeza.

Utukufu wa enzi ya Mungu

BWANA ametamalaki, nchi na ishangilie,

Visiwa vingi na vifurahi.

Enyi wenye haki, mfurahieni BWANA,

Na kulishukuru jina lake takatifu.

Mimi ni BWANA; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu.

Cânticos e instrumentos

Cantai ao Senhor um cântico novo! Louvai com salmos, hinos e cânticos espirituais, fazendo melodia no coração ao Senhor.

Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.

Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.

mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu; na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo.

Ukuu na wema wa Mungu

Mpigieni BWANA vigelegele, enyi wenye haki,

Kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.

Mshukuruni BWANA kwa kinubi,

Kwa kinanda cha nyuzi kumi mwimbieni sifa.

Mwimbieni wimbo mpya,

Pigeni kwa ustadi kwa sauti ya shangwe.

Wakacheza Daudi na Israeli wote, mbele za Mungu, kwa nguvu zao zote; na kwa nyimbo na kwa vinubi, na kwa vinanda, na kwa matari, na kwa matoazi, na kwa tarumbeta.

Mwimbieni, mwimbieni nyimbo za kumsifu;

Yatangazeni matendo yake yote ya ajabu.

Akatia wimbo mpya kinywani mwangu,

Ndio sifa zake Mungu wetu.

Wengi wataona na kuogopa,

Nao watamtumainia BWANA.

Shukrani kwa ajili ya uthibitisho
Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato.

Ni neno jema kumshukuru BWANA,

Na kuliimbia jina lako sifa, Ee Uliye Juu.

Ahadi ya mfalme juu ya uaminifu na haki
Ya Daudi. Zaburi.

Rehema na hukumu nitaziimba,

Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.

Ahadi ya mfalme juu ya uaminifu na haki
Ya Daudi. Zaburi.

Rehema na hukumu nitaziimba,

Ee BWANA, nitakuimbia zaburi.

Louvor nas lutas

Paulo e Silas louvaram na prisão e houve terremoto. O louvor é arma espiritual que transforma circunstâncias e derrota o inimigo.

Lakini ilipokuwa karibu usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza.

Lakini ilipokuwa karibu usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za kumsifu, na wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza.

Naye alipokwisha kufanya shauri na watu, akawaweka wale watakaomwimbia BWANA, na kumsifu katika uzuri wa utakatifu, wakitoka mbele ya jeshi, na kusema, Mshukuruni BWANA; kwa maana fadhili zake ni za milele. Nao walipoanza kuimba na kusifu, BWANA akaweka waviziao juu ya Waamoni, na Moabu, na wa mlima Seiri, waliokuja kushambulia Yuda; nao wakapigwa.

Ndipo Ayubu akainuka, akalirarua joho lake, kisha akanyoa kichwa chake, na kuanguka chini, na kusujudia; akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi, nami nitarudi tena huko uchi vile vile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.

Mwimbieni BWANA zaburi,

Enyi watauwa wake.

Na kutoa shukrani.

Kwa kukumbuka utakatifu wake.

Maana ghadhabu zake ni za muda mfupi tu;

Radhi yake ni ya milele.

Kilio huweza kuwapo usiku,

Lakini furaha huja asubuhi.

Umegeuza msiba wangu kuwa ngoma;

Umeniondolea huzuni yangu, kunijalia furaha tele.

Ili nafsi yangu ikusifu,

Wala isinyamaze.

Ee BWANA, Mungu wangu,

Nitakushukuru milele.

Nafsi yangu, kwa nini kuinama,

Na kufadhaika ndani yangu?

Umtumaini Mungu;

Kwa maana nitakuja kumsifu,

Aliye afya ya uso wangu,

Na Mungu wangu.

Kisha akawaambia, Nendeni zenu, mle kilichonona, na kunywa kilicho kitamu, tena mpelekeeni sehemu yeye asiyekuwa na kitu; maana siku hii ni takatifu kwa BWANA wetu; wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya BWANA ni nguvu zenu.

Gratidão e louvor

Em tudo dai graças. O louvor nasce da gratidão por quem Deus é e pelo que Ele faz. Cada bênção é motivo de adoração.

Shukrani kwa wema wa Mungu
Ya Daudi.

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.

Naam, vyote vilivyo ndani yangu

Vilihimidi jina lake takatifu.

Shukrani kwa wema wa Mungu
Ya Daudi.

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.

Naam, vyote vilivyo ndani yangu

Vilihimidi jina lake takatifu.

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA,

Wala usizisahau fadhili zake zote.

Shukrani kwa wema wa Mungu
Ya Daudi.

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA.

Naam, vyote vilivyo ndani yangu

Vilihimidi jina lake takatifu.

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA,

Wala usizisahau fadhili zake zote.

Akusamehe maovu yako yote,

Akuponya magonjwa yako yote,

Aukomboa uhai wako kutoka kwa kaburi,

Akutia taji la fadhili na rehema,

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA,

Wala usizisahau fadhili zake zote.

Na wamshukuru BWANA, kwa fadhili zake,

Na maajabu yake kwa wanadamu.

Maana hushibisha nafsi yenye shauku,

Na nafsi yenye njaa huijaza mema.

Uaminifu wa Mungu kwa Israeli

Haleluya.

Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake,

Wajulisheni watu matendo yake.

Na katika siku hiyo mtasema,

Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake;

Yatangazeni matendo yake kati ya mataifa,

Litangazeni jina lake kuwa limetukuka.

Sifa kwa kukombolewa katika udhalimu

Ee BWANA, wewe u Mungu wangu;

Nitakutukuza na kulihimidi jina lako;

Kwa kuwa umetenda mambo ya ajabu,

Mashauri ya kale, kwa uaminifu na kweli.

Nakushukuru, nakuhimidi, Ee Mungu wa baba zangu, uliyenipa hekima na uwezo, ukanijulisha hayo tuliyotaka kwako; maana umetujulisha neno lile la mfalme.

A majestade do Rei

Ao nome de Jesus todo joelho se dobrará. A adoração culminará na eternidade, onde os redimidos louvarão ao Cordeiro para sempre.

wakisema kwa sauti kuu, Astahili Mwana-kondoo aliyechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.

Na kila kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi na chini ya nchi na juu ya bahari, na vitu vyote vilivyomo ndani yake, nilivisikia, vikisema, Baraka na heshima na utukufu na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na kwake Mwana-kondoo, hata milele na milele.

akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu, na kumtukuza, kwa maana saa ya hukumu yake imekuja. Msujudieni yeye aliyezifanya mbingu na nchi na bahari na chemchemi za maji.

Sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Msifuni Mungu wetu, enyi watumwa wake wote, ninyi mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.

Sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Msifuni Mungu wetu, enyi watumwa wake wote, ninyi mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.

Kwa kuwa imeandikwa,

Kama niishivyo, anena Bwana, kila goti litapigwa mbele zangu;

Na kila ulimi utamkiri Mungu.

Hatimaye, ndugu zangu, mambo yoyote yaliyo ya kweli, yoyote yaliyo ya heshima, yoyote yaliyo ya haki, yoyote yaliyo safi, yoyote yenye kupendeza, yoyote yenye sifa njema; ukiwapo wema wowote, ikiwapo sifa nzuri yoyote, yatafakarini hayo.

Vida de louvor

O louvor transforma, fortalece a fé e nos conecta com o céu. Quem louva a Deus em toda circunstância experimenta sua presença real.

Mtumikieni BWANA kwa kicho,

Shangilieni kwa kutetemeka.

Nitamshukuru BWANA kwa kadiri ya haki yake;

Nitaliimbia jina la BWANA aliye juu.

Uwezo wa Mungu na haki yake
Kwa mwimbishaji: kwa kufuata mtindo wa Muth-labeni. Zaburi ya Daudi.

Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote;

Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;

Uwezo wa Mungu na haki yake
Kwa mwimbishaji: kwa kufuata mtindo wa Muth-labeni. Zaburi ya Daudi.

Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote;

Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;

Nitafurahi na kukushangilia;

Nitaliimbia sifa jina lako, Wewe Uliye juu.

Na ahimidiwe BWANA.

Maana ameisikia sauti ya dua yangu;

BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu.

Moyo wangu umemtumaini,

Nami nimesaidiwa;

Basi, moyo wangu unashangilia,

Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.

Atoaye dhabihu za kushukuru,

Ndiye anayenitukuza.

Naye autengenezaye mwenendo wake,

Nitamwonesha wokovu wa Mungu.

Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake.

Nimemtumaini Mungu, sitaogopa;

Mwenye mwili atanitenda nini?

Ee nguvu zangu, nitakuimbia sifa,

Maana Ewe Mungu ndiwe ngome yangu,

Mungu wa fadhili zangu.

Maana fadhili zako ni njema kuliko uhai;

Midomo yangu itakusifu.

Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai;

Kwa jina lako nitaiinua mikono yangu.

Shukrani kwa mavuno mengi
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.

Ee Mungu, wastahili sifa katika Sayuni,

Na kwako Wewe itaondolewa nadhiri.

Wewe usikiaye maombi,

Wote wenye mwili watakujia.

Tutakapozidiwa na matendo maovu

Wewe utatuondolea uovu wetu.

Nilimwita kwa kinywa changu,

Na sifa kuu zilikuwa chini ya ulimi wangu.

Na ahimidiwe Mungu asiyeyakataa maombi yangu,

Wala kuniondolea fadhili zake.

Bali wenye haki hufurahi,

Na kuushangilia uso wa Mungu,

Naam, hupiga kelele kwa furaha.

Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake,

Mwimbieni wimbo yeye apitaye katika mawingu,

Jina lake ni YAHU;

Shangilieni mbele zake.

Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane,

Ni Mungu aliye katika kao lake takatifu.

Mwimbieni Mungu, lisifuni jina lake,

Mwimbieni wimbo yeye apitaye katika mawingu,

Jina lake ni YAHU;

Shangilieni mbele zake.

Na ahimidiwe Bwana,

Siku kwa siku hutuchukulia mzigo wetu;

Mungu ndiye wokovu wetu.

Heri watu wale waijuao sauti ya shangwe,

Ee BWANA, waendao, katika nuru ya uso wako.

Unyonge wa sanamu na ukuu wa Mungu

Ee BWANA, kutukuza usitutukuze sisi,

Bali ulitukuze jina lako,

Kwa ajili ya fadhili zako,

Kwa ajili ya uaminifu wako.

Mwito wa wote kuabudu

Haleluya.

Enyi mataifa yote, msifuni BWANA,

Enyi watu wote, mhimidini.

Maana fadhili zake kwetu sisi ni kuu,

Na uaminifu wa BWANA ni wa milele.

Nitakushukuru kwa unyofu wa moyo,

Nikiisha kujifunza hukumu za haki yako.

Maana Wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu,

Uliniunga tumboni mwa mama yangu.

Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa

Kwa njia ya ajabu ya kutisha.

Matendo yako ni ya ajabu,

Na nafsi yangu yajua sana,

Sala kwa ukombozi wa kitaifa na usalama
Ya Daudi.

Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu,

Aifundishaye mikono yangu vita,

Na vidole vyangu kupigana.

Sifa kwa kupata msaada wa Mungu

Haleluya.

Ee nafsi yangu, umsifu BWANA.

Nitamsifu BWANA muda ninaoishi,

Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.

Ila Mungu ashukuriwe, anayetufanya tushangilie ushindi daima katika Kristo, na kuidhihirisha harufu ya kumjua yeye kila mahali kwa kazi yetu.

Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, kulingana na radhi ya mapenzi yake. Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa.

awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake katika utu wa ndani.

Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;

Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu; ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa ni taifa la Mungu; mliokuwa hamkupata rehema, bali sasa mmepata rehema.

Nitamwita BWANA astahiliye kusifiwa;

Hivyo nitaokoka na adui zangu.

Basi, BWANA, nitakushukuru kati ya mataifa,

Nami nitaliimbia jina lako.

Yeye ndiye fahari yako, na yeye ndiye Mungu wako, aliyekutendea mambo haya makubwa, ya kutisha, uliyoyaona kwa macho yako.

awaambie, Sikilizeni, enyi Israeli, hivi leo mwasongea mapiganoni juu ya adui zenu mioyo yenu na isizime; msiche, wala msiteteme, wala msiingiwe na hofu kwa ajili ya wao;

Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana. Ndugu zangu, haifai mambo hayo kuwa hivyo.

Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.

Ushiriki taabu pamoja nami, kama askari mwema wa Kristo Yesu.

Askari aliye vitani hajiingizi katika shughuli za dunia, maana lengo lake ni kumpendeza yeye aliyemweka kuwa askari.

Piga vita vile vizuri vya imani; shika uzima ule wa milele ulioitiwa, ukaungama maungamo mazuri mbele ya mashahidi wengi.

Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu.

Wapenzi, nilipokuwa nikifanya bidii sana kuwaandikia habari ya wokovu ambao ni wetu sisi sote, niliona imenilazimu kuwaandikia, ili niwaonye kwamba mwishindanie imani waliyokabidhiwa watakatifu mara moja tu.

Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, na kushiriki chakula chao kwa furaha na kwa moyo mweupe, wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.

Seja o primeiro
Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-29_22-07-56-