Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Coríntios 2

14 Mtu ambaye hana Roho hawezi kupokea mambo yatokayo kwa Roho wa Mungu, kwa kuwa ni upuzi kwake, naye hawezi kuyaelewa kwa sababu hayo yanaeleweka tu kwa upambanuzi wa rohoni. 15 Mtu wa kiroho hubainisha mambo yote, lakini yeye mwenyewe habainishwi na mtu yeyote.

16 "Kwa maana ni nani aliyefahamu mawazo ya Bwana

ili apate kumfundisha?"

Lakini sisi tunayo mawazo ya Kristo.

Veja também