Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Mambo Ya Nyakati 20

Vita Na Wafilisti

4 Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai,20:4 Yaani majitu. nao Wafilisti wakashindwa.

Veja também