Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Crônicas 4

9 Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, "Nilimzaa kwa huzuni." 10 Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, "Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!" Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.

Veja também