Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Pedro 1

23 Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele. 24 Maana,

"Wanadamu wote ni kama majani,

nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni;

majani hunyauka na maua huanguka,

25 lakini neno la Bwana ladumu milele."

Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu.

Veja também