24 Maana,
"Wanadamu wote ni kama majani,
nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni;
majani hunyauka na maua huanguka,
25 lakini neno la Bwana ladumu milele."
Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu.
24 Maana,
"Wanadamu wote ni kama majani,
nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni;
majani hunyauka na maua huanguka,
25 lakini neno la Bwana ladumu milele."
Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu.