Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Samweli 16

11 Hivyo akamuuliza Yese, "Je, hawa ndio wana pekee ulio nao?"

Yese akajibu, "Bado yuko mdogo kuliko wote, lakini anachunga kondoo."

Samweli akasema, "Tuma aitwe; hatutaketi mpaka afike."

12 Basi akatuma aitwe naye akaletwa. Alikuwa mwekundu, mwenye sura nzuri na umbo la kupendeza.

Ndipo Bwana akasema, "Inuka na umtie mafuta, huyu ndiye."

13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake, kuanzia siku ile na kuendelea Roho wa Bwana akaja juu ya Daudi kwa nguvu. Kisha Samweli akaenda zake Rama.

Veja também