16 Basi Yonathani akafanya agano na nyumba ya Daudi, akisema: "Bwana na awaangamize adui za Daudi." 17 Naye Yonathani akamtaka Daudi athibitishe tena kiapo chake cha kumpenda, kwa sababu Yonathani alimpenda Daudi kama nafsi yake mwenyewe.
Publicidade
Publicidade