Pular para o conteúdo
Publicidade

2 Coríntios 3

4 Hili ndilo tumaini tulilo nalo mbele za Mungu kwa njia ya Kristo. 5 Si kwamba sisi tunafikiri kuwa tunaweza kufanya jambo lolote wenyewe, lakini nguvu yetu inatoka kwa Mungu. 6 Ndiye alituwezesha sisi kuwa wahudumu wa Agano Jipya: si wa andiko, bali wa Roho; kwa kuwa andiko huua bali Roho hutia uzima.

Veja também