7 Mfalme akawaambia Yuda, "Tuijenge hii miji na tuizungushie kuta, pamoja na minara, malango na makomeo. Nchi bado ni yetu, kwa sababu tumemtafuta Bwana Mungu wetu, tulimtafuta naye ametupa raha kila upande." Hivyo wakajenga na wakafanikiwa.
Publicidade
Publicidade