30 Lakini mama mtoto akasema, "Hakika kama Bwana aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha." Kwa hiyo Elisha akainuka, akafuatana naye.
30 Lakini mama mtoto akasema, "Hakika kama Bwana aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha." Kwa hiyo Elisha akainuka, akafuatana naye.