12 Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema:
"Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa,
kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu
na heshima na utukufu na sifa!"
12 Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema:
"Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa,
kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu
na heshima na utukufu na sifa!"