47 Kwa maana hili ndilo Bwana alilotuamuru:
" ‘Nimewafanya ninyi kuwa nuru kwa watu wa Mataifa,
ili mpate kuuleta wokovu hadi miisho ya dunia.’ "
47 Kwa maana hili ndilo Bwana alilotuamuru:
" ‘Nimewafanya ninyi kuwa nuru kwa watu wa Mataifa,
ili mpate kuuleta wokovu hadi miisho ya dunia.’ "