1 Naye Sauli alikuwepo pale, akiridhia kuuawa kwa Stefano.
Kanisa Lateswa Na Kutawanyika
Siku ile kukatukia mateso makuu dhidi ya kanisa huko Yerusalemu, waumini wote isipokuwa mitume wakatawanyika, wakakimbilia Uyahudi na Samaria.
1 Naye Sauli alikuwepo pale, akiridhia kuuawa kwa Stefano.
Siku ile kukatukia mateso makuu dhidi ya kanisa huko Yerusalemu, waumini wote isipokuwa mitume wakatawanyika, wakakimbilia Uyahudi na Samaria.