Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "esperança"

8 resultados encontrados

  1. 1 Coríntios 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 7–13 de 13

    7Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote.

    8Upendo haushindwi kamwe. Lakini ukiwepo unabii, utakoma; zikiwepo lugha, zitakoma; yakiwepo maarifa, yatapita.

    13Basi sasa, yanadumu mambo haya matatu: Imani, tumaini na upendo. Lakini lililo kuu miongoni mwa haya matatu ni upendo.

  2. Lamentações 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 21–29 de 66

    21Hata hivyo najikumbusha neno hilina kwa hiyo ninalo tumaini.

    26ni vyema kungojea kwa utulivukwa ajili ya wokovu wa Bwana.

    29Na azike uso wake mavumbinibado panawezekana kuwa na matumaini.

  3. Salmos 56

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 56
    Mostrando versículos 3–11 de 13

    3Wakati ninapoogopa,nitakutumaini wewe.

    4Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,katika Mungu ninatumaini; sitaogopa.Mwanadamu apatikanaye na kufa,atanitenda nini?

    11katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.Mwanadamu anaweza kunitenda nini?

  4. Provérbios 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 4–14 de 25

    4Mvivu hutamani sana na hapati kitu,bali nafsi ya mwenye bidiihutoshelezwa kikamilifu.

    12Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua,bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.

    14Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima,ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

  5. Romanos 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 2–5 de 21

    2ambaye kwa kupitia kwake tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo ndani yake sasa tunasimama, nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu.

    4nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,

    5wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ametupatia.

  6. Romanos 12

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 6–12 de 21

    6Tuna karama zilizotofautiana kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa. Kama ni unabii na tutoe unabii kwa kadiri ya imani.

    9Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.

    12Kuweni na furaha katika tumaini, katika dhiki kuweni na saburi, dumuni katika maombi.

  7. Filipenses 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 2–23 de 23

    2Nawasihi Euodia na Sintike wawe na nia moja katika Bwana.

    20Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.

    23Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  8. Romanos 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 24–35 de 39

    24Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alicho nacho tayari?

    25Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.

    35Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je, ni shida au taabu au mateso au njaa au uchi au hatari au upanga?

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo