2 Wakati huo, mimi Danieli nikaomboleza kwa majuma matatu. 3 Sikula chakula kizuri; nyama wala divai havikugusa midomo yangu; nami sikujipaka mafuta kamwe mpaka majuma matatu yalipotimia.
2 Wakati huo, mimi Danieli nikaomboleza kwa majuma matatu. 3 Sikula chakula kizuri; nyama wala divai havikugusa midomo yangu; nami sikujipaka mafuta kamwe mpaka majuma matatu yalipotimia.