Pular para o conteúdo
Publicidade

Mhubiri 4

8 Kulikuwepo mwanadamu aliye peke yake,

hakuwa na mwana wala ndugu.

Hapakuwa na mwisho wa kazi yake,

hata hivyo macho yake

hayakutosheka na utajiri wake.

Aliuliza, "Ninajitaabisha hivi kwa ajili ya nani,

nami kwa nini ninajinyima kufurahia?"

Hili pia ni ubatili,

ni shughuli yenye taabu!

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também