Publicidade

Efésios 6

Mafundisho Kuhusu Watoto Na Wazazi

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa kuwa hili ni jema. 2 "Waheshimu baba yako na mama yako," hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi, 3 "upate baraka na uishi siku nyingi duniani."

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-28_14-13-17-