Publicidade

Efésios 6

Mafundisho Kuhusu Watoto Na Wazazi

1 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa kuwa hili ni jema. 2 "Waheshimu baba yako na mama yako," hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi, 3 "upate baraka na uishi siku nyingi duniani."

4 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, bali waleeni kwa nidhamu na mafundisho ya Bwana.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-