13 Mose akawajibu Waisraeli, "Msiogope. Simameni imara, nanyi mtauona wokovu Bwana atakaowapatia leo. Hao Wamisri mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena. 14 Bwana atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu."
13 Mose akawajibu Waisraeli, "Msiogope. Simameni imara, nanyi mtauona wokovu Bwana atakaowapatia leo. Hao Wamisri mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena. 14 Bwana atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu."