4 Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru na giza. 5 Mungu akaiita nuru "mchana," na giza akaliita "usiku." Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
Publicidade
Publicidade
4 Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru na giza. 5 Mungu akaiita nuru "mchana," na giza akaliita "usiku." Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.