Mnara Wa Babeli
1 Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.
9 Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo Bwana alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo Bwana akawatawanya katika uso wa dunia yote.
1 Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.
9 Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo Bwana alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo Bwana akawatawanya katika uso wa dunia yote.