18 Ndipo Melkizedeki mfalme wa Salemu alipoleta mkate na divai. Alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana.
20 Abarikiwe Mungu Aliye Juu Sana,
ambaye amewaweka adui zako mkononi mwako."
Ndipo Abramu akampa Melkizedeki sehemu ya kumi ya kila kitu.
18 Ndipo Melkizedeki mfalme wa Salemu alipoleta mkate na divai. Alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana.
20 Abarikiwe Mungu Aliye Juu Sana,
ambaye amewaweka adui zako mkononi mwako."
Ndipo Abramu akampa Melkizedeki sehemu ya kumi ya kila kitu.