Agano La Tohara
1 Abramu alipokuwa na miaka tisini na tisa, Bwana akamtokea akamwambia, "Mimi ndimi Mungu Mwenyezi;17:1 Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote). enenda mbele zangu na uishi kwa unyofu.