16 Yakobo alipoamka kutoka usingizini, akawaza, "Hakika Bwana yuko mahali hapa, wala mimi sikujua." 17 Kwa hiyo akaogopa, akasema, "Mahali hapa panatisha kama nini! Bila shaka hapa ndipo nyumba ya Mungu ilipo, hili ni lango la mbinguni."
Publicidade
Publicidade