7 Noa na mkewe na wanawe na wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika. 8 Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vitambaavyo, 9 wa kiume na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katika safina kama Mungu alivyomwamuru Noa. 10 Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.
Publicidade
Publicidade