37 Kwa kuwa bado kitambo kidogo tu,
"Yeye ajaye atakuja wala hatakawia.
38 Lakini mwenye haki wangu
ataishi kwa imani.
Naye kama akisitasita,
sina furaha naye."
39 Lakini sisi hatumo miongoni mwa hao wanaositasita na kuangamia, bali tuko miongoni mwa hao wenye imani na hivyo tunaokolewa.