Publicidade

Hebreus 10

37 Kwa kuwa bado kitambo kidogo tu,

"Yeye ajaye atakuja wala hatakawia.

38 Lakini mwenye haki wangu

ataishi kwa imani.

Naye kama akisitasita,

sina furaha naye."

39 Lakini sisi hatumo miongoni mwa hao wanaositasita na kuangamia, bali tuko miongoni mwa hao wenye imani na hivyo tunaokolewa.

Veja também

Publicidade
Hebreus
Ver todos os capítulos de Hebreus
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-22_10-02-25-