Lalamiko La Habakuki
2 Ee Bwana, hata lini nitakuomba msaada,
lakini wewe husikilizi?
Au kukulilia, "Udhalimu!"
Lakini hutaki kuokoa?
3 Kwa nini unanifanya nitazame dhuluma?
Kwa nini unavumilia makosa?
Uharibifu na udhalimu viko mbele yangu;
kuna mabishano na mapambano kwa wingi.