Pular para o conteúdo
Publicidade

Joel 2

Rarueni Mioyo Yenu

12 "Hata sasa," asema Bwana,

"nirudieni kwa mioyo yenu yote,

kwa kufunga, kwa kulia na kuomboleza."

13 Rarueni mioyo yenu

na siyo mavazi yenu.

Mrudieni Bwana, Mungu wenu,

kwa maana yeye ndiye mwenye neema

na mwingi wa huruma,

si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo,

huona huruma, hujizuia kuleta maafa.

Veja também

Joel
Ver todos os capítulos de Joel