Pular para o conteúdo
Publicidade

João 1

Yesu Mwana-Kondoo Wa Mungu

29 Siku iliyofuata, Yohana alimwona Yesu akimjia akasema, "Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu!

34 Mimi mwenyewe nimeona jambo hili na ninashuhudia kuwa huyu ndiye Mwana wa Mungu."

Veja também