45 Filipo naye akamkuta Nathanaeli na kumwambia, "Tumemwona yeye ambaye Mose aliandika habari zake katika Sheria na ambaye pia manabii waliandika kumhusu, yaani, Yesu wa Nazareti, mwana wa Yosefu."
46 Nathanaeli akauliza, "Nazareti! Je, kitu chochote chema chaweza kutoka Nazareti?" Filipo akamwambia, "Njoo uone."