33 Yesu alipomwona Maria akilia na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, Yesu alisikia uchungu moyoni, akafadhaika sana. 34 Akauliza, "Mmemweka wapi?"
Wakamwambia, "Bwana, njoo upaone."
35 Yesu akalia machozi.
33 Yesu alipomwona Maria akilia na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye pia wakilia, Yesu alisikia uchungu moyoni, akafadhaika sana. 34 Akauliza, "Mmemweka wapi?"
Wakamwambia, "Bwana, njoo upaone."
35 Yesu akalia machozi.