Yesu Ndiye Njia Ya Kwenda Kwa Baba
5 Tomaso akamwambia, "Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?"
6 Yesu akawaambia, "Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu.
5 Tomaso akamwambia, "Bwana, sisi hatujui unakokwenda, tutaijuaje njia?"
6 Yesu akawaambia, "Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu.