Publicidade

João 19

4 Pilato akatoka tena nje akawaambia wale waliokusanyika, "Tazameni, namkabidhi Yesu kwenu kuwajulisha kwamba mimi sikumwona ana hatia." 5 Kwa hiyo Yesu akatoka nje akiwa amevaa ile taji ya miiba na lile vazi la zambarau. Pilato akawaambia, "Tazameni, huyu hapa huyo mtu!"

6 Wale viongozi wa makuhani na maafisa walipomwona, wakapiga kelele wakisema, "Msulubishe! Msulubishe!"

Pilato akawaambia, "Mchukueni ninyi mkamsulubishe, mimi sioni hatia juu yake."

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-29_22-07-56-