3 Divai ilipokwisha, mama yake Yesu akamwambia, "Wameishiwa na divai."
4 Yesu akamwambia, "Mwanamke, nina nini nawe? Saa yangu haijawadia."
5 Mama yake akawaambia wale watumishi, "Lolote atakalowaambia, fanyeni."
3 Divai ilipokwisha, mama yake Yesu akamwambia, "Wameishiwa na divai."
4 Yesu akamwambia, "Mwanamke, nina nini nawe? Saa yangu haijawadia."
5 Mama yake akawaambia wale watumishi, "Lolote atakalowaambia, fanyeni."