15 Walipokwisha kula, Yesu akamuuliza Simoni Petro, "Je, Simoni mwana wa Yohana, unanipenda kweli kuliko hawa?"
Yeye akamjibu, "Ndiyo Bwana, wewe unajua ya kuwa ninakupenda."
Yesu akamwambia, "Lisha wana-kondoo wangu."
19 Yesu alisema haya ili kuashiria ni kifo cha aina gani Petro atakachomtukuza nacho Mungu. Kisha Yesu akamwambia Petro, "Nifuate!"