10 Lakini anaijua njia niiendeayo;
akiisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.
11 Nyayo zangu zimefuata hatua zake kwa karibu;
nimeishika njia yake bila kukengeuka.
10 Lakini anaijua njia niiendeayo;
akiisha kunijaribu, nitatoka kama dhahabu.
11 Nyayo zangu zimefuata hatua zake kwa karibu;
nimeishika njia yake bila kukengeuka.