76 "Nawe mtoto wangu, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana;
kwa kuwa utamtangulia Bwana
na kuandaa njia kwa ajili yake,
77 kuwajulisha watu wake juu ya wokovu
utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao,
76 "Nawe mtoto wangu, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana;
kwa kuwa utamtangulia Bwana
na kuandaa njia kwa ajili yake,
77 kuwajulisha watu wake juu ya wokovu
utakaopatikana kwa kusamehewa dhambi zao,