Pular para o conteúdo
Publicidade

Lucas 15

Mfano Wa Kondoo Aliyepotea

1 Basi watoza ushuru na wenye dhambi wote walikuwa wanakusanyika ili wapate kumsikiliza Yesu. 2 Lakini Mafarisayo na walimu wa sheria wakanungʼunika wakisema, "Huyu mtu anawakaribisha wenye dhambi na kula nao."

Veja também