Pular para o conteúdo
Publicidade

Lucas 17

Kuja Kwa Ufalme Wa Mungu

20 Yesu alipoulizwa na Mafarisayo Ufalme wa Mungu utakuja lini, yeye akawajibu, "Ufalme wa Mungu hauji kwa kuchunguza kwa bidii, 21 wala watu hawatasema, Huu hapa,au Ule kule,kwa maana Ufalme wa Mungu umo ndani yenu."

Veja também