37 Alipokaribia mahali yanapoanzia materemko ya Mlima wa Mizeituni, umati wote wa wafuasi wake wakaanza kumsifu Mungu kwa furaha kwa sauti kuu kwa ajili ya matendo yote ya miujiza waliyoyaona. Wakasema:
38 "Amebarikiwa Mfalme ajaye kwa Jina la Bwana!"
"Amani mbinguni na utukufu huko juu sana."