Yesu Akamatwa
47 Yesu alipokuwa bado anazungumza, umati mkubwa wa watu ukaja. Uliongozwa na Yuda, ambaye alikuwa mmoja wa wale wanafunzi Kumi na Wawili. Akamkaribia Yesu ili ambusu. 48 Lakini Yesu akamwambia, "Yuda, je, unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?"