Pular para o conteúdo
Publicidade

Lucas 23

24 Kwa hiyo Pilato akatoa hukumu kwamba madai yao yatimizwe. 25 Akamfungua yule mtu aliyekuwa amefungwa gerezani kwa kuhusika katika uasi dhidi ya serikali na mauaji. Akamkabidhi Yesu mikononi mwao, wamfanyie watakavyo.

Veja também