25 Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,
kwa yule ambaye humtafuta;
26 ni vyema kungojea kwa utulivu
kwa ajili ya wokovu wa Bwana.
25 Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,
kwa yule ambaye humtafuta;
26 ni vyema kungojea kwa utulivu
kwa ajili ya wokovu wa Bwana.