Pular para o conteúdo
Publicidade

Marcos 1

Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma

40 Mtu mmoja mwenye ukoma alimjia Yesu, akamwomba akipiga magoti, akamwambia, "Ukitaka, waweza kunitakasa."

41 Yesu, akiwa amejawa na huruma, akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, "Nataka. Takasika!" 42 Mara ukoma ukamtoka, naye akatakasika.

Veja também