Ubatizo Wa Yesu
9 Wakati huo Yesu akaja kutoka Nazareti ya Galilaya, naye akabatizwa na Yohana katika Mto Yordani. 11 Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, "Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana."
9 Wakati huo Yesu akaja kutoka Nazareti ya Galilaya, naye akabatizwa na Yohana katika Mto Yordani. 11 Nayo sauti kutoka mbinguni ikasema, "Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana."