Pular para o conteúdo
Publicidade

Marcos 3

28 Amin, nawaambia, dhambi zote na makufuru yote ya wanadamu watasamehewa. 29 Lakini yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, atakuwa na hatia ya dhambi ya milele."

30 Yesu alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, "Ana pepo mchafu."

Veja também