Mfano Wa Mbegu Ya Haradali
30 Akawaambia tena, "Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza? 32 Lakini ikishaota, hukua ikawa mmea mkubwa kuliko yote ya bustanini, ikawa na matawi makubwa hata ndege wa angani wanaweza kujenga viota kwenye matawi yake."